WELCOME

Showing posts with label Motivation Quotation. Show all posts
Showing posts with label Motivation Quotation. Show all posts

Thursday, January 30, 2014

Maneno Yangu Machache Siku Ya Leo.


Unaweza kufika mahala ukajiuliza why me? Why everything bad happen to me? You have to be strong because everything in this Planet has its purpose. Bare in your mind that God have good intend to everyone regardless of our differences, He love us all. This isn't a right time to feel of sorrow, repentance or disappointment but it is the right time to make it happen. Don't fed up for something good, but fed up for something bad. Kuna usemi usemao "kama ipo basi ipo tu", huo ndiyo ushupavu na wala usitawaliwe na ule usemi usemao "Mungu ajapanga" maana mpangaji ni wewe, usiseme Mungu nisaidie huku ukiwa umekaa sema Mungu nisaidie huku ukiwa umesimama na kuchakarika.

Cha kushangaza pale unapochakarika na kujituma katika maisha yako wapo watu ambao hawapendi kuona unafanikiwa kwa njia moja au nyingine. Ndiyo kwanza wanakuwa kikwazo cha wewe kuweza kusonga mbele. Nimekuwa nikijiuliza why human being change to be an animal? Maana wanafanya mambo mabaya kwa wenzao ambayo yanaleta ukakasi kwa wenye imani mbele ya Mungu.


Leo hii kuna mtu kutokana na roho yake mbaya na ufinyu wa fikra pevu anautumia muda wake kwa kunitumia massage za matusi, kunitusi mimi, blog yangu pamoja na wazazi wangu. Sijui ni nini kinachomuumiza anapoiona blog hii?! Masikini leo hii kijana wa watu ninayependa kuwajuza mambo mbalimbali na kuwapa burudani ya aina yake nawekewa kinyongo. Sishangai sana maana watu wenye roho za kutu walikuwepo toka zamani zama na zama. Watu wanaopenda wao tu waendelee na wengine wawe nyuma yao.


Naimani lengo lake ni kunikatisha tamaa, kwa hilo hatofanikiwa maana mimi siyo mtu wa kukata tamaa kiraisi raisi. I'm a man of principal who know what I do, najua ataendelea kuumia maana huu siyo mwisho wa MWINYI BLOG huu ni mwanzo tu. You don't know what you mess with and you don't know what I'm capable of. Only you know me by name but you don't know me in details. If you think you know me you're absolutely mistaken. Wadau wangu wa MWINYI BLOG huyu mtu ananipa hasira sana anaingiza na mambo ya ushirikina ndani yake. Anajidanganya kwa kujua kuwa simjui. Namshukuru kwa ujinga wake ulionifanya mpaka nijifunze kitu.


Mungu yu pamoja nami na yu pamoja naye pia, namuombea uhai mrefu ili azidi kuumia. Na kwa wale ambao blog hii inawakwaza kwa namna moja au nyingine I'm sorry you can't change me but you can change yourself by find the way to be comfortable.


Your sincere,

Tuesday, December 24, 2013

Beautiful Words Of Today


I'd just like to wish everyone a happy Christmas and thank everyone that has made this year so great for me.. I don't pretend anything is ever easy and every single one of us have challenges and walls to brake down along the way, but after everything I've seen and been a part of in our game of life this year, learning so much more about myself and now have a pretty damn good idea of what direction I have to move in for the future.. It's funny when you think of yourself as a 'Know it all' and think you have everything. And every now and then something creeps up and slaps you in the brain with a massive eye opener.. I will be taking a 'Learn and live' approach going forward from now! ..so merry Christmas again everybody! Take care and have a great time!

Beautiful words of today:
>Love is giving someone the power to destroy you, but trusting them not to.

>Sometimes, no matter how long or hard you've loved someone, they'll never love you back. And sometimes, you have to be okay with that.

>Sometimes it's better to react with no reaction. 

>When we cannot get what we love, we must love what is within our reach. 

> Hope... Sometimes that's all you have when you have nothing else. If you have it, you have everything.

 >Wakati mwingine kitu kikiaribika ndiyo kinapata thamani ya juu zaidi kuliko hapo awali.

 >Maturity has to do with the experiences you’ve had, not how many birthdays you’ve celebrated. Happy birthday kwa wale wote waliozaliwa siku ya leo.

> Hivi unajua kama uwezi kutema mate bila kumeza mate? Kwa hiyo kama kuna kitu unakionea kinyaa na kukitemea mate basi elewa umekimeza kwanza ndiyo ukakitema. Nawatakia siku njema Waungwana.

 >Cry as hard as you want to. But always make sure: when you stop crying, you'll never cry for the same reason again.

 >Being someone's first love is great, but being someone's last love is beyond perfect.

Thursday, October 24, 2013

ENJOY THE BEST WORDS FROM MWINYI ALLY ABUU

>Kile wanachokufikiria watu siyo cha msingi sana, ila kile unachokifikiria mwenyewe ndiyo kila kitu.

> Usilie juu ya yaliyopita maana hayapo sasa, usijipe mawazo juu ya maisha ya baadae maana hayajafika. Ishi katika sasa na jipe furaha.

 >Mwisho uliomzuri ni bora zaidi kuliko mwazo uliombaya. Ingawaje sometimes all we need is a fresh start.

> Rafiki wa kweli na wa uongo ni raisi sana kuwajua pindi upatapo matatizo. Usiombe yakakufika maana ata wao hawatofika.

> Kama kuwa nao kunazorotesha maisha yako basi huo ni unyonyaji. You'll be better off without them.
> Sometimes unahitaji kuyaweka yaliyopita kando and move on with your life.

> Pata muda wa kutazama na kushukuru kile ulichonacho. Maana wapo katika wao wanaotamani kuwa kama wewe.

> Siku zote epuka kale kausemi ka "Nilisoma nae" wakati mwenzio anamaisha mazuri kuliko wewe. Open your mind.

> Hakuna uongo mbaya kama ule unaojiambia mwenyewe, maana nafsi yako itakusuta ila nafsi za wengine zaweza kukuvumilia.

> Acha kujipa matumaini ya kitu kutokea, ila fanya kitokee.

> Sio kila kifaacho macho kinafaa moyo.

> Bila shaka siku imeenda poa, mshukuru Mungu kwa yale uliyofanikisha na kwa yale ambayo bado basi ujue muda wake bado ujafika. Usikate tamaa you still have a chance.

> Usijali kuchukiwa na mpumbavu ambaye kesho atakuja kuomba umsaidie.

> If you don't call me all day I understand, when you don't text me all day I understand, when I stop loving you I hope you understand.

> Chasing a dream, is always better than chasing a person.

> Appreciate what you have right now, because you don't always get a second chance.

> Nowadays there's no honor, only drama. Your friend today can be your enemy tomorrow.

>Sometimes, the people whom we've known for only a short amount of time have a bigger impact on us than we've know forever.

Sometimes you have to accept the fact that certain things will never go back to how they used to be.

> Always remember, pain makes people change. So don't hurt them when you do not want them to change.

> When you say yes to others, make sure you are not saying no to yourself.

>You can't change others, but you can change yourself, you can't change the past, but you can change the future.

> Never cry for the person who hurts you. Just smile and say "thanks for giving me a chance to find someone better than you."

> If you're planning to let me go today, make sure you'll never come back tomorrow.

> A fake boyfriend or girlfriend will put a lock on his phone. A real boyfriend or girlfriend will say, "Hey baby, can you read that text for me?"

>If what you have done yesterday still looks big to you, you haven't done much today.

>Just because you were not right for someone doesn't mean you will never be right for anyone.

>Any fool can know. The point is to understand.

>From good things, I learn to be a thankful person. From bad things, I learn to be a strong person.

>Yesterday is today's memory, tomorrow is today's dream.

>I rather have an honest enemy than a fake friend. Nakupenda sana unaenichukia, we ujui tu.

>Things will get worse before they get better. But when they do, remember who put you down and who helped you up.

>Sometimes you miss the memories, not the person. I miss that time.

>No matter how much you revisit the past, there's nothing new to see.

>When you really matter to someone, that person will always make time for you. Kama wewe ndiye unaemake time sana kuliko yeye basi ujue hauna chako hapo.

>Never regret anything that has happened in your life. It cannot be changed, undone, or forgotten so take it as a lesson learned and move on.

>Shit happens when you trust the wrong people. Kutoaminiana kuzuri sometimes.

>Don't feel sad over someone who gave up on you, feel sorry for them because they gave up on someone who would have never given up on them.

>Every relationship has its problems, but what makes it perfect is if you still want to be together when things go wrong.

>If you cheat on a girl that's willing to do anything for you, you actually cheated yourself out of true loyalty.

>Never think that you are not good enough for anyone and always ask yourself if they are good enough for you.

>I smile and act like nothing is wrong, it's called putting shit aside and being strong.

>You'll never see all the great things ahead of you, if you keep looking at all the bad things behind you. Live, learn and don't look back.

>Sometimes the smallest step in the right direction ends up being the biggest step of your life.

>If you were happy before you met someone, you can be happy after they're gone.

>I will forgive you but the way I look at you will never be the same as it used to be. Hii iwaendee walionikwaza wote.

>You always have time for the things you put first.
 
>It's better to know and be disappointed than to never know and always wonder.

> Everybody has gone through something that has changed them in a way that they could never go back to the person they once were.

> Stop holding on to what hurts and start making room for what feels good.

> Be happy, not because everything is good, but because you can see the good side of everything.

> When people walk out of your life, let them. You might miss them, but remember that you are not the one that gave up.

> Grades don’t measure intelligence and age doesn’t define maturity.

> Everyone comes into your life for a reason, some for good or bad, they may shape us, break us, but in the end they make us who we are.

> NEVER make permanent decisions on temporary feelings.

> If you find it necessary to judge me by my past... don't be surprised when I find it necessary to put you there.

> I don't forgive people because I'm weak. I forgive them because I am strong enough to know people make mistakes.

> My Life, my choices, my mistakes, my lessons, not your business.

> Never hate. Never let anger permit your life. Always forgive. The best insult that you can give to a hater is to be kind to them.

> Do you feel alone sometimes? Do you feel that nobody loves you? Do you feel scared? Remember, God is right there with you.

> It's hard to wait for something you know will never happen, but it's even harder to stop when you know it's the most thing you ever wanted.

> Fake friends are like shadows: always near you at your brightest moments, but nowhere to be seen at your darkest hour.

> When you judge me without knowing me, you do not define me, you define yourself. Hahahahaha people zinatalk much sana.

> The minute you start caring about what other people think, is the minute you stop being yourself.